Wiper: Tuko Imara Ndani Ya Azimio

2023-02-19 3

Wajumbe Na Viongozi Katika Chama Cha Wiper Kilichoko Chini Ya Muungano Wa Azimio La Umoja One Kenya , Wamesisitiza Kuwa Chama Hicho Kiko Imara Ndani Ya Muungano Huo Na Hivyo Kitaendelea Kushiriki Mikutano Au Mabaraza Yanayoongozwa Na Kinara Wa Muungano Huo Raila Odinga. Semi Hizi Zimejiri Wakati Wa Wa Chama Hicho Cha Wiper Ulioandaliwa Naivasha Kaunti Ya Nakuru.

Free Traffic Exchange