Rais Wa FKF Nick Mwendwa Atajibu Mashtaka Mahakamani Jumatatu

2021-11-28 9

Rais Wa FKF Nick Mwendwa Anatarajiwa Kufikishwa Mahakamani Jumatatu Kujibu Mashtaka Mbalimbali Yakiwemo Ya Ulaghai. Mwendwa Alikamatwa Tena Ijumaa Na Kufikishwa Katika Makao Makuu Ya DCI.

Free Traffic Exchange