Baadhi Ya Viongozi Waunga Mkono Mradi Wa Serikali Kukopa

2021-04-11 6

Baadhi Ya Vingozi Wameunga Mkono Mradi Wa Serikali Wa Kukopa Kutoka Hazina Ya Imf. Kamishna Wa Kitaifa Wa Ardhi Kazungu Kambi Ametetea Mradi Huu Na Kuitisha Mkopo Wa Bilioni 3 Kumaliza Mradi Wa Challa Unaojengwa Kaunti Ya Taita Taveta. Hata Hivyo Amesihi Serikali Ihakikisha Ifusadi Umeangamizwa. Mwanahabari Wetu Lucy Riley Anatuarifu Zaidi.

Free Traffic Exchange