MWITA WAITARA: " CHADEMA SIO CHAMA CHA MABADILIKO NI SACCOS YA MBOWE NA VIONGOZI WENZIE "
2018-07-31
11
Aliyekuwa Mbunge wa ukonga kwa tiketi ya CHADEMA Mwita Waitara awatemea cheche akina Mbowe na Wenzake Baada ya kujiunga na CCM , ameyesema hayo katika kampeni za uchaguzi mdogo buyungu kigoma