Maisha yao yalikuwa ya neema kutokana na mazingira waliyokulia na wanafunzi wenzao waliona kuwa watoto hao walikuwa chachu katika jamii kutowatenga watoto walemavu.
Ndoto yao kuwa pia ambayo waliibainisha walipozungumza na BBC ni kwamba walikuwa wanamatumaini ya kuolewa na mume mwerevu na watayeweza kumsaidia na asione kuwa wao ni tegemezi.