Dawa hii ni nzuri sana kwa wanawake wote wenye tatizo la kukosa hamu ya tendo la ndoa au wale wasiosikia kabisa raha yoyote wakati wa tendo lile la Umoja.
Vitu vya msingi ni Majani ya Mbaazi na Mafuta ya Mzeituni.
Fuata vizuri hatua hizi chache na rahisi kabisa kwa uwezo wa Mungu Tatizo lako litakwisha kabisa.