Asante Kwasi alipoipa Simba bao la pili dhidi ya Mbeya City - VPL 2017/18
2018-04-13
4
Ilikuwa dakika ya 32 baada ya mabeki wa Mbeya City kudhani kuwa Beki Asante Kwasi alikuwa ameotea.
Ni mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) ikipigwa kwenye dimba la Taifa