Wakenya waadhimisha sherehe za pasaka kwa kujumuika na wapendwa wao

2016-03-29 1

Wanafunzi kadhaa wamejeruhiwa katika chuo kikuu cha Kenyatta kilichoko barabara kuu ya Thika kufuatia rabsha zilizotokana na hofu ya uvamizi wa kigaidi