Nyumba 6 zinadaiwa kuchomeka kiajabu katika sakata ya mizimu, kakamega

2016-02-20 1

Wenyeji wa kijiji cha Alufu kaunti ya Kakamega, kwa mara nyingine tena huenda wakakosa usingizi kufuatia mazingaombwe yanayoendelea katika kijiji hicho.